Showing posts with label VICHEKESHO. Show all posts
Showing posts with label VICHEKESHO. Show all posts

October 2, 2013

MTU AKAANGA KUKU KWA KUTUMIA MIKONO MAAJABU YA DUNIA

Hi | 7:17:00 PM | | | Be first to comment


Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Mr Trichan mwenye umiri wa miaka 50 anayeweza kukaanga kuku kwenye mafuta ya moto kwa kutumia mikono yake. Imeripotiwa kwamba Mr Trichan ana uwezo kukaanga kuku kwenye moto wenye 480c pia ndiye raia wa kwanza ambaye amevunja rekodi duniani kwa kukaanga kuku kwenye mafuta ya moto.

May 10, 2013

DUNIA TUNAIMALIZA..! WANAUME WAWILI WAFUMANIWA GESTI WAKIWA KATIKA HATUA ZA MWISHO ZA KUINGILIANA KINYUME NA MAUMBILE

Hi | 4:27:00 PM | | | Be first to comment

MWANAUME aliyefahamika kwa jina la baba Salome, mkazi wa Tandika jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alimdhalilisha mkewe (mama Salome) baada ya kufumaniwa gesti akiwa na mwanaume mwenzake ambapo madai yalisema, walikuwa katika hatua za mwisho za kuingiliana kimwili...
Aibu hiyo ya mwaka ambayo ilionekana pia kama kituko ilijiri Mei 3, mwaka huu ndani ya gesti moja maarufu iliyopo Devi’s Corner –Tandika, jijini Dar es Salaam.


Awali ilidaiwa kuwa, mwanaume huyo na baba Salome mwenye mke na watoto wawili wanaomtegemea kwa kila kitu, walionekana wakiingia kwenye gesti moja ambayo pia ipo maeneo hayo hali iliyozua maswali kwa watu waliokuwa wakiwafahamu. 

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster