Showing posts with label NATAFUTA MPENZI/RAFIKI. Show all posts
Showing posts with label NATAFUTA MPENZI/RAFIKI. Show all posts

April 13, 2015

NATAFUTA MWENZA/MPENZI MWENYE MAPENZI YA DHATI

Hi | 11:34:00 AM | | Be first to comment
Tommy Evosy shuma Elivosy (+255) 655063509 Naitaji mwanamke mwenye mapenzi ya dhati Mkoa wa Arusha.


Naitwa juma natafuta mpenzi wakike umri kuanzia miaka 20 hadi 25 kabila lolote anaejua kupenda na kujali contact zangu ni 0717699252 email ni jumamruma52@gmail.com awe Mwanza.
 



February 18, 2015

JINSI YA KUGAWANYA MALI KATI YA MUME NA MKE

Hi | 8:15:00 PM | | | Be first to comment
NDOA inapovunjika kuna kuna mambo makuu matatu ambayo hutokea kutokana na ndoa hiyo kuvunjika. Kwanza ni kugawana mali walizochuma wanandoa, pili hifadhi ya watoto na tatu matunzo ya watoto. Haya ni matokeo ya kuvunjika kwa ndoa, mengine zaidi kuhusu kuvunjika kwa ndoa tutayaona hapa wakati nikieleza mgawanyo wa mali za wanandoa. 

1.MALI ZIPI HUTAKIWA HUGAWANYWA NDOA INAPOVUNJIKA? Ndoa inapotangazwa kuvunjika, mali ambazo hupaswa kugawanywa ni mali za wanandoa wenyewe. Swali mbele yetu ni kuwa ni zipi mali za wanandoa? Mali za wanandoa ni zile zote zilizochumwa na wanandoa hao kwa jitihada au juhudi za pamoja wakati wa ndoa yao. Mali hizo zaweza kuwa zinahamishika au hazihamishiki. Mali zisizohamishika ni kama nyumba, viwanja, mashamba n.k. Mali zinazohamishika ni kama magari, baiskeli, pikipiki,vifaa vya ndani kama fenicha, fedha benki, na mali nyingine ambazo hazionekani kwa macho au hazigusiki kama hisa n.k. Zingatia sana usije kudhulumiwa kwa kuwa hata hisa pamoja na akiba ya fedha benki nayo ni mali inayostahili kugawanywa. 

NAFASI YA NDUGU KATIKA MAHUSIANO

Hi | 8:06:00 PM | | | Be first to comment
TAMADUNI za kiafrika, zimeleta athari kubwa sana katika jambo hili, ingawa katika hali ya kawaida, linatazamwa kama ni dogo, lisilo na athari, tofauti na uhalisia wake. Watu wanaliona ni suala la kawaida, la kupuuziwa tu, wakati kiukweli, linatakiwa kutazamwa kwa macho yote.

Kimila, kimazoea na kiutamaduni imetufanya kulifanya jambo hili kuwa la kifamilia. Ndugu wamekuwa na nguvu kubwa katika uhusiano wetu. Ni ngumu kwa mfano, kuwa na rafiki anayeelekea kuwa mke au mume, pasipo uhusika wa ndugu zako. Kama ni msichana, atawajua wifi zake, shemeji zake, wakwe zake na ndugu wengine wa karibu, sawa sawa na itakavyokuwa kwa mvulana, kwani naye ataanza kuonyeshwa shemeji zake, wakwe zake na kadhalika.

Hili ni jambo la kawaida kabisa na linasaidia sana kuboresha uhusiano wa wapendanao. Kwa sababu wapenzi wakishafikia hapa, inapotokea kamgogoro kadogo, ni rahisi shemeji, wifi au ‘mkwe’ kuhusishwa. Mkwe anayehusishwa hapa mara nyingi siyo mzazi moja kwa moja, bali ama huwa baba au mama mdogo na kadhalika.

January 24, 2015

TABIA 7 ZA WANAWAKE WANATOKA NA WANAUME WENGI

Hi | 3:59:00 PM | | | | Be first to comment
1) Ana boreka haraka – Wanawake wanaoboreka haraka nirahisi kutafuta mwanaume mwingine wa kum-entertain, muda sio mrefu huyo mwanaume atachoka kum-entatain rafiki asiye na faida na ndio hapo atakapo anza kudai faida zake na wanaishia kuwa friends with benefits.
2) Marafiki wengi wa kiume – Mwanamke mwenye marafiki wengi wa kiume ni rahisi ku-cheat kwasababu anapata muda mwingi wa kuongea na wanaume wengine, watamsifia anavyopendeza, kama wewe unamwambia amependeza mara moja kwa wiki basi wenzako watamwambia anapendeza kila wanapoonana. Wataabza kumtoa out na mwisho wake ataona hao wanaume wamanjali kuliko wewe na kulala nao. 

3) Anapenda attention – Wanawake wanaopenda attention ni rahisi kudanganyika. Wanaume wengi hasa ambao hawataki kuwa committed kwenye mahusiano yoyote wanatoa sana attention kwa wanawake. Mwanamke anayependa sana attention hawezi ridhishwa na attention ya mwanaume mmoja.
4) Anapenda vitu “material things” Wanawake wengi wanaopenda material things wanashindwa kupata kila kitu kutoka kwa waume zao au maboyfriend zao na kuishia kutafuta mwanaume mwingine ambaye ana uwezo wa kumnunulia vitu anavyotaka ili awatese wenzake kwenye instagram.

February 22, 2014

NATAFUTA RAFIKI WA KALAMU POPOTE ALIPO

Hi | 2:25:00 AM | | | Be first to comment

NAITWA MUKTARI NAISHI TANDAHIMBA NA UMRI WANGU NI MIAKA 22, NATAFUTA RAFIKI WA JINSIA YA KIKE KWA AJILI YA KUCHAT NA KUBADILISHANA MAWAZO KUANZIA UMRI WA MIAKA 15 MPAKA 19, ASISITE AWASILIANE NAMI KUPITIA NAMBA ZANGU ZA SIMU YA MKONONI 0659 333450 TUMA SMS NTAJIBU KWA HARAKA SANA.

January 7, 2014

USIPOTEZE MUDA KWA MTU AMBAYE MOYO WAKO UNAMKATAA

Hi | 6:33:00 PM | | | Be first to comment
MAPENZI ni maisha ya kawaida ambayo wawili wanaotamkiana kupendana wanaishi. Kutamkiana kwa sababu si kila kitokacho kinywani kinaweza kuwa na maana ileile ya moyoni. Dhana nzima ya mapenzi haina urafiki na maigizo. Waigizaji hufeli katika kipengele cha uhusiano.

October 23, 2013

NATAFUTA MWENZA/MPENZI/RAFIKI WA KALAMU NA KUCHATI

Hi | 3:02:00 PM | | | | Be first to comment
pole kwa kazi ngumu ya ujenzi wa taifa kwanza naanza kutoa langu la moja kwaniaba ya (JAMESI, DOTTO .)anamtafuta mpwa wake anayefahamika (MATIAS.MIPAWA .JAMESI.)aliondoka mwaka .2001.shinyanga .wilaya.maswa akidai anaelekea masasi popote pale alipo kama akiweza kusoma uk.yoyote tuwasiliane kwa namba (0752710828,0767113924.asanteni  

Geofrey wa dar nina miaka 24 natafuta girlfriend awe na miaka 17~21 awe mnene kiasi awe anakaa dar nitafute kwenye 0783562785.

NATAFUTA RAFIKI WA KIKE (MCHUMBA) , ALIYE SERIOUS. Mimi ni kijana mvulana, wa kitanzania kutoka mkoa wa mbeya. Nipo serious katika swala hili. Natafuta rafiki wa kike kwa urafiki utakaoishia kwenye uchumba kisha ndoa kama tukiridhiana na kukubaliana . Nahitaji mtu ambaye pia yupo serious katika swala hili vinginevyo kama haupo serious kaa pembeni maana sipendi kupotezeana muda. WASIFU WANGU: UMRI WANGU: miaka 28 DINI YANGU: mkristo SINA MTOTO, SIJAWAHI KUOA. MWONEKANO WANGU: Mimi ni mweusi kiasi, mwembamba, sio mfupi sana wala sio mrefu. Mambo mengine kuhusu mimi nitamweleza muhusika baada ya kuwasiliana. WASIFU WA MSICHANA NINAYEMUHITAJI: UMRI WAKE: asizidi miaka 23 DINI YAKE: mkristo ELIMU YAKE: yoyote KAZI YAKE: mwenye kazi au asiye na kazi. MWONEKANO WAKE: awe na umbo la wastani (asiwe mnene sana wala mfupi sana). MUHIMU ZAIDI: awe mweupe na awe asili yake mikoa kati ya Dar, Moro, Iringa au mbeya

Natafuta rafiki wa kuchat hasa wadada 0786237866

Naitwa frank,natafuta rafiki wa kuchat hasa wakike 0786237866

July 15, 2013

NAHITAJI MUME ALIETAYARI KUFUNGA PINGU ZA MAISHA AWE TAYARI KUPIMA UKIMWI

Hi | 3:53:00 PM | | Be first to comment
 
KWAJINA NAITWA MAGDALENA UMRI 29,ELIMU YANGU KIDATO 4,NAHITAJI MUME ALIETAYARI KUFUNGA PINGU ZA MAISHA,AWEMKRISTO,UMRI KUAZIA MIAKA30.SINA MTOTO NASIJAWAHI KUOLEWA.SIHITAJI SMS MWENYENIA NA MIMI APIGE.SIMUHITAJI MBABAISHAJI NATAKA MUME WAKUFUNGA PINGU ZA MAISHA
.SIPENDI TABIA YAKUCHEZEANA,AWETAYARI KUPIMA UKIMWI,ANAE JUA UPENDO WADHATI TOKA MOYONI MAWASILIANO {0766234794} NAISHI WILAYANI MASASI MKOANI MTWARA.USUMBUFU SIPENDI KAMA HUNANIA NA MIMI

naitwa ibrahim haji nipo zanzibar natafuta marafiki namba zangu ni 0773406282

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster