Showing posts with label FREEMASON. Show all posts
Showing posts with label FREEMASON. Show all posts

January 18, 2014

HIKI NI KIZAZI CHA NYOKA KILICHOLAANIWA MSANII KANYE WEST AANZISHA DINI YAKE IITWAYO YEEZIANITY YEYE AJIITA NI MUNGU WA DINI HIYO

Hi | 7:22:00 PM | | | Be first to comment
 Kanye West amepata dini yake iitwayo Yeezianity, “I AM a God,” Kanye West anasikika kwenye moja ya nyimbo zake zilizopo kwenye album Yeezus (jina likiwa mchanganyiko wa aka ‘Ye – na Jesus).
Na sasa wafuasi wa rapper huyo wameanzisha website, Yeezianity.com maalum kwa watu wote wanaotaka kubadilisha dini kwenda Yeezianity, inayojitangaza kama “THE BEST CHURCH OF ALL TIME!
“Sisi ni kundi lisilotaka kujulikana linaloamini kuwa yule anayejiita Yeezus ni kiumbe kitakatifu kilichotumwa na Mungu kuongoza kwenye kizazi kipya cha ubinadamu,” yanasomeka maneno kwenye website.

Kwenye website hiyo kuna sheria kadhaa au nguzo na tamko la imani likiwemo ‘Imani kwa Yeezus’ na ‘I believe Yeezus will lead us into a new Age of Creativity’. Amen.” Mwanzilishi wa ‘Yeezianity’ ameongea na mtandao wa Vice kwa masharti ya kutotajwa jina na kusema kuwa Yeezianity si kitu cha mzaha
 Ukitaka kujiunga na dini hiini rahisi sana.Unachotakiwa kufanya ni kuwatumia email yenye picha isiyokutambulisha ukiwa umeshika karatasi lililoandikwa ‘I Believe In Yeezus’.

October 23, 2013

BREAKING NEWS..! ASKOFU MPENDA ANASA MJERUMANI TEBARTZ VAN ELST ASIMAMISHWA VATICAN

Hi | 2:56:00 PM | | | Be first to comment
Mchana huu, Vatican imemsimamisha kazi askofu mpenda anasa Mjerumani, Tebartz-van Elst, aliyetumia TSh 68 bil za kanisa kujenga jumba la fahari..
Endelea kuperuzi mtandao wetu kwa habari zaidi.

April 13, 2013

SIR ANDY CHANDE ASEMA TANZANIA INA WANACHAMA HAI ZAIDI YA 600 WA KUNDI LA WATU WENYE IMANI YA SIRI FREEMASONS

Hi | 9:02:00 PM | | Be first to comment

Sir Andy Chande Tanzania ina wanachama hai zaidi ya 600 wa kundi la watu wenye imani ya siri ya Freemasons wakiwa wanatokana na watu wa kada mbalimbali wakiwemo maarufu, huku ikielezwa kwamba miongoni mwao hakuna viongozi wakuu wa serikali..

Hayo yalibainishwa na Kiongozi wa kundi la Freemasons katika eneo la Afrika Mashariki, Jayantilal Keshavji Chande maarufu kama Sir Andy Chande alipozungumza na gazeti hili, wiki hii Dar es Salaam. Kiongozi huyo Mtanzania mkazi wa Dar es Salaam mwenye asili ya Kiasia, alisema licha ya Tanzania kuwa na wanachama hao, kwa sasa idadi ya wanachama duniani inapungua tofauti na inavyoonekana sasa kuwa wanaongezeka kutokana na kuibuka maneno mengi kuhusu kundi hilo. 

December 8, 2012

SASA MAMBO WAZIWAZI WAPENDA PESA HII NI KWA WASIOPENDA KUJITUMA FREEMASON WATINGA BILA KUJIFICHA ENEO LA KILIMAHEWA WILAYANI ILEMELA JIJINI MWANZA

Hi | 4:25:00 PM | | Be first to comment
Ni bango lililotundikwa eneo la Kilimahewa wilayani Ilemela jijini Mwanza.
Kuhusu mawasiliano ambayo yameandikwa chini mwishoni mwa karatasi hiyo ni
0655 905 559
0756 520 154
0789 905 559
0222 405 682
 

Chunguza kwanza ili isije ikakugharimu mdau usidanganyike na tamaa ya vishawishi vya pesa!! Hakuna faida yeyote utakayokuwa nayo kwa kutumia pesa za kimiujiza ambazo hujazitolea jasho. Mwisho

October 9, 2012

TASWIRA ZA MAZISHI CHA GEORGE ALIYETOA USHUHUDA WA KANUMBA KUWA AMEUAWAWA NA FREEMASON

Hi | 5:35:00 PM | | | Be first to comment
 Mwili wa George Kairuki.

Haruni Sanchawa na Makongoro Oging'
TAARIFA zilizotufikia wakati  tunakwenda mtamboni zinadai kuwa, yule kijana aliyefahamika kwa jina la George Nimayou ambaye siku za nyuma aliibuka na kudai marehemu Steven Kanumba alikuwa freemason, amefariki dunia ghafla.

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kilichoomba hifadhi ya jina, kijana huyo alifariki dunia Septemba 29, mwaka huu huko Tabata jijini Dar alikokuwa akiishi na kifo chake kinafananishwa na kile cha marehemu Kanumba.
Chanzo hicho kilidai kuwa, siku ya tukio zilisikika kelele ndani ya chumba alichokuwa akiishi na baada ya muda alitoka mwanamke na kutokomea kusikojulikana.

“Hatukujua kilichotokea, tulipoingia ndani tukakuta George amekufa ndipo taratibu za mazishi zilipofanyika,” kilidai chanzo hicho.
Wakizungumzia tukio hilo, baadhi ya watu wanaoishi eneo hilo walieleza kushangazwa na tukio hilo huku baadhi wakishindwa kuamini na kuhisi huenda alikuwa anarekodi filamu.

“Na sisi tunasikia tu kuwa eti kafariki lakini mbona msiba wenyewe hatukuusikia na hata picha za tukio zinaonesha watu wachache sana, sisi tunahisi kuna kitu nyuma ya tukio hili, hatuamini kuwa amekufa, “ alisema Mariam Hassan wa Tabata.

Ijumaa Wikienda lilizungumza na mmoja wa maofisa wa polisi Mkoa wa Ilala ambaye hakupenda jina liandikwe gazetini kwa kuwa si msemaji wa jeshi hilo ambapo alisema, hawajapata taarifa ya tukio hilo na kwamba huenda ni uzushi hivyo waandishi wetu wanaendelea kuifuatilia kwa kina, ikikamilika itaenda hewani.

July 29, 2012

SECRET HISTORY OF THE FREEMASONS(HISTORIA YA SIRI YA FREEMASONS):DOCUMENTARY

Hi | 12:52:00 AM | | Be first to comment
This documentary provides insights into Freemasonry. Although Freemasonry claims to not be a religion, documentary evidence proves otherwise. In fact, Masonic literature and doctrine exposes Freemasonry as a Luciferian religion. Lucifer is the 'god' of Freemasonry. (Albert Pike, Morals & Dogma). Albert Pike also reveals that the initiates of Freemasonry at the lower degrees are in fact deceived.

Furthermore, Masonic doctrine is based on esoteric occult knowledge that is designed to 'enlighten' it's initiates. Essentially, the aim of a Mason is to become 'born again' through secret knowledge. This is achieved by becoming a better person through the knowledge imparted to the initiates of Freemasonry as they rise through the degrees or levels of initiation and doctrinal teachings.

Masonic teachings are nothing less than an elaborate counterfeit of the Bible. It is a religion of secularism and has its roots in ancient Babylonian false religion found in the Old Testament of the Bible. It propagates the lie of Satan in the Garden of Eden that man can in fact become a 'god' and that this status is attained by eating of the Tree of Knowledge. By contrast, Yahweh (God) teaches in the Bible that the only way that fallen man can be born again (spiritually), is through the redemptive work and person of Jesus Christ. Man does not have the power to 'save himself' and needs a redeemer who has the power over sin and death.

One of the aims of Freemasonry is to rebuild the Temple of Solomon in Jerusalem. Lucifer (Satan) has established his counterfeit secular humanistic pagan religion (Freemasonry), to 'build' his kingdom on the earth. The Bible teaches that Satan is in fact the Prince of this world but that his power and control over the earth and the people of the earth is temporary. Satan's plan is ultimately to seat himself in the rebuilt Temple of Solomon in Jerusalem. The false prophet who will be revealed at the end of the age, and just before the return of Jesus Christ, will enthrone himself as God in Jerusalem. For a period of time, the nations of the world will worship him as God.

This is the ultimate deception and insult to the living God (Yahweh). It is also what is described as the Abomination of Desolation in the Book of Daniel in the Bible.
Jesus Christ will eventually return to the earth to establish his eternal rule over the nations, principalities and powers of the earth. The Kingdom of God will be established on the earth and Christ will govern his Kingdom from the New Jerusalem that comes down to earth from Heaven.
INSIDE FREEMASONRY(DOCUMENTARY)
An unique and intimate interview with a few Freemasons who discuss the Lodge from the inside. As well as viewpoints from Prince Hall Freemasons
Ni wazi kwamba BC haishabikii wala haifungamani kwa njia yeyote ile na imani ya Freemasons(misimamo yetu inaeleweka bila shaka). Pamoja na hayo, BC ni chombo au daraja la kuelimishana.Isitoshe, kwa muda sasa kumekuwa na upotoshaji mwingi,mara nyingi,kupitia vyombo mbalimbali vya habari(hususani magazeti) kuhusiana na suala zima la imani ijulikanayo kama Freemasons,tunaamini kwamba sio vibaya endapo BC itatumika kama chombo au daraja la kusaidia kupatikana kwa elimu au maarifa ya aina fulani juu ya jambo husika. Ndio maana hapa chini unaweza kutizama documentary(takribani masaa mawili hivi) kuhusu historia ya siri ya Freemasons.

Najua ingependeza zaidi kama documentary hii ingekuwa na tafsiri ya lugha ya Kiswahili.Kwa bahati mbaya,ipo katika Kiingereza.Hata kama kiingereza sio lugha unayoielewa sana,jaribu tu kuitazama.Kama huwezi kabisa kuelewa,basi mtafute mtu ambaye anaelewa zaidi akusaidie kuelewa.

July 14, 2012

MAJADILIANO KATIKA MITANDAO YA KIJAMII FACEBOOK: TASWIRA ZA UKWELI WOWOTE KUHUSU KANUMBA NA FREEMASON?

Hi | 11:23:00 AM | | Be first to comment
Hii Picha Ndiyo Iliyotumika Kwenye Msiba ndo Ilikuwa Mbele Ili Mtu Kuweza Kumtambua Marehemu. Ukitazama Shati hapo Katikati kuna alama ya fuvu na namba 13, na kwenye fuvu sehemu ya Ubongo Kuna Tobo Kuonesha Ishara wadadisi wa mambo wanasema ni Kuonesha "Brain Itatikisika" na kwenye Mdomo Kuna tobo Kuonesha kuna kitu kitatoka mdomoni....hizi ni Tafsiri za Wataalam.
Hapa alikuwa amepiga Picha na kwenye Kiti Kuna alama ya Mojawapo ya Illuminati Syombols.

Hapa ndipo Mjadala wa Chini Ukaibuka.
Mwenye Picha Nzuri Ya Jeneza la Kanumba Tafadhari naomba ani tag....nataka tazama je ni kweli Kwenye zile picha zilizochorwa kwenye jeneza kama Urembo Kuna alama ya Fuvu na namba 13?na Kama kuna uhusiano wowote wa ki-masonic kufa tarehe 7, Saa 7 na jina lake lenye Nyota Kanumba kuwa na Herufi 7??then nitazame uhusiano wa Movie ya Devil's Kingdom.

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster