February 18, 2015

JINSI YA KUGAWANYA MALI KATI YA MUME NA MKE

Hi | 8:15:00 PM | | | Be first to comment
NDOA inapovunjika kuna kuna mambo makuu matatu ambayo hutokea kutokana na ndoa hiyo kuvunjika. Kwanza ni kugawana mali walizochuma wanandoa, pili hifadhi ya watoto na tatu matunzo ya watoto. Haya ni matokeo ya kuvunjika kwa ndoa, mengine zaidi kuhusu kuvunjika kwa ndoa tutayaona hapa wakati nikieleza mgawanyo wa mali za wanandoa. 

1.MALI ZIPI HUTAKIWA HUGAWANYWA NDOA INAPOVUNJIKA? Ndoa inapotangazwa kuvunjika, mali ambazo hupaswa kugawanywa ni mali za wanandoa wenyewe. Swali mbele yetu ni kuwa ni zipi mali za wanandoa? Mali za wanandoa ni zile zote zilizochumwa na wanandoa hao kwa jitihada au juhudi za pamoja wakati wa ndoa yao. Mali hizo zaweza kuwa zinahamishika au hazihamishiki. Mali zisizohamishika ni kama nyumba, viwanja, mashamba n.k. Mali zinazohamishika ni kama magari, baiskeli, pikipiki,vifaa vya ndani kama fenicha, fedha benki, na mali nyingine ambazo hazionekani kwa macho au hazigusiki kama hisa n.k. Zingatia sana usije kudhulumiwa kwa kuwa hata hisa pamoja na akiba ya fedha benki nayo ni mali inayostahili kugawanywa. 

NAFASI YA NDUGU KATIKA MAHUSIANO

Hi | 8:06:00 PM | | | Be first to comment
TAMADUNI za kiafrika, zimeleta athari kubwa sana katika jambo hili, ingawa katika hali ya kawaida, linatazamwa kama ni dogo, lisilo na athari, tofauti na uhalisia wake. Watu wanaliona ni suala la kawaida, la kupuuziwa tu, wakati kiukweli, linatakiwa kutazamwa kwa macho yote.

Kimila, kimazoea na kiutamaduni imetufanya kulifanya jambo hili kuwa la kifamilia. Ndugu wamekuwa na nguvu kubwa katika uhusiano wetu. Ni ngumu kwa mfano, kuwa na rafiki anayeelekea kuwa mke au mume, pasipo uhusika wa ndugu zako. Kama ni msichana, atawajua wifi zake, shemeji zake, wakwe zake na ndugu wengine wa karibu, sawa sawa na itakavyokuwa kwa mvulana, kwani naye ataanza kuonyeshwa shemeji zake, wakwe zake na kadhalika.

Hili ni jambo la kawaida kabisa na linasaidia sana kuboresha uhusiano wa wapendanao. Kwa sababu wapenzi wakishafikia hapa, inapotokea kamgogoro kadogo, ni rahisi shemeji, wifi au ‘mkwe’ kuhusishwa. Mkwe anayehusishwa hapa mara nyingi siyo mzazi moja kwa moja, bali ama huwa baba au mama mdogo na kadhalika.

KAMPUNI 3 KUBWA ZIMESITISHA KURUSHA MATANGAZO YA TV KWA MUDA WA SIKU 3

Hi | 7:32:00 PM | | Be first to comment
Kampuni tatu kubwa za utangazaji zimesitisha kurusha  matangazo kwenye televisheni kwa muda wa siku tatu baada ya Serikali kudhibiti mitambo ya zamani ya kurusha matangazo kwa mfumo wa analojia huku Kampuni hizo zikiwahakikishia waandishi wa habari kuwa hawatawafukuza kazi. 
Kampuni hizo za Standard Media, inayomiliki television kibinafsi ya KTN na National Media Group inayomiliki NTV na QTV pamoja na Royal Media Services inayomiliki Citizen TV zimekuwa katika malumbano na Serikali ya Kenya kuhusu uhamiaji wa kurusha matangazo kwa kutumia mfumo wa digitali kutoka analojia.


Hata hivyo wasimamizi wa vituo hivyo wametumia njia ya mitandao kurusha matangazo yao, huku halmashauri ya Mawasiliano nchini humo  imewataka waende mahakamani ili kufikia muafaka juu ya wala hilo.

VODACOM ZTE NI SIMU MPYA INAYOPATIKANA KATIKA MADUKA YOTE YA VODACOM TANZANIA

Hi | 7:30:00 PM | | Be first to comment
Kwako tena mtu wangu wa Vodacom, hii ni kama zawadi kwako ambayo Kampuni ya Mawasiliano Tanzania VODACOM wamekusogezea kwa kujali kuwa na wewe uwe karibu na watu wako wa nguvu kwa simu hii ya bei poa.
Vodacom ZTE ni simu mpya inayopatikana katika Maduka yote ya Vodacom Tanzania, bei yake ni ELFU 40 TU (40,000/- Tshs)

Kwenye link hii utapata maelezo zaidi kuhusu simu hiyo > www.vodacom.co.tz

MTUMIAJI WA FACEBOOK AKIFARIKI NINI KINAFANYIKA!

Hi | 7:27:00 PM | | Be first to comment
Mitandao ya kijamii imetusogeza karibu, Facebook ni moja ya mitandao hiyo, lakini kurasa za mtumiaji wa mtandao kama Facebook huwa zinaendelea kuwepo hata kama ikitokea mtumiaji amefariki.

Facebook wameenda mbali zaidi, muda si mrefu kutakuwa na setting ambayo mtumiaji wa mtandao huo anaweza kuamua kama ukurasa wake huo ufutike au uendelee kuwepo huku ukiendeshwa na mtu mwingine, au ubaki kwa ajili ya kumbukumbu za mtumiaji kama ikitokea mtumiaji amefariki.

Hii itaanza kufanya kazi hivi karibuni Marekani na baadaye wataalam wa Facebook wanaangalia namna ya kila mtumiaji kuweza kuufanya hivyo ukurasa wake wa Facebook.

IPHONE 6 WANASEMA HUENDA ZIKAWA SIMU ZA BEI KALI ZAIDI KWA SASA DUNIANI

Hi | 7:13:00 PM | | Be first to comment
iPhone 6 wanasema huenda zikawa simu za bei kali zaidi kwa sasa duniani.
Mastaa wanapenda pia vitu vizuri na vya thamani, mfano simu za iPhone ziko mikononi mwa mastaa wengi sana hata hapa Bongo.
Kampuni ya Apple ambao ndio watengenezaji wa iPhone wamesema kuwa miongoni mwa wateja wao wakubwa duniani ni hawa; mwanariadha Usain Bolt Mjamaica, mwanasoka mstaafu David Beckham na star wa mziki P Diddy.

Unaambiwa mastaa hao kila mmoja ana iPhone 6 ambayo imetengenezwa kwa madini ya almasi, thamani ya simu hiyo kila moja ni paundi mil. 2.3 (kama bil. 6.5 za TZ).

February 14, 2015

February 7, 2015

MICROSOFT OFFICE WILL SOON HAVE CORTANA INTEGRATION

Hi | 6:16:00 PM | | Be first to comment
According to a report in The Verge, Microsoft will soon integrate Cortana into its Office productivity suite. The highly capable virtual assistant will be available in both mobile and desktop guise in the near future. 

A Microsoft Office “Work Assistant” application is reportedly in testing. The solution utilizes Cortana to “open, edit, and share documents using voice commands.” The initial app by Microsoft is said to be a prototype for the time being.
Cortana integration into Microsoft Office could mark the arrival of the Redmond giant’s virtual assistant to iOS and Android. Microsoft has already hinted at such plans in the past.

MOTO G 4G (2015) VOTED PHONE

Hi | 6:09:00 PM | | Be first to comment
 A number of interesting devices were unveiled in the last week of January and now you’ve had a whole week to vote to cast your favorite. The devices are concentrated around the mid-range and come from a varied selection of makers – Motorola, Samsung, HTC, Asus, ZTE and Meizu.

This was not a close race, a clear favorite emerged with second place far away in its rear mirror.
And it is the Motorola Moto G (2015), the scheduled LTE update to the second generation Moto G. It’s limited in terms of availability for now but you no longer have to make the choice between 4G LTE and having the larger screen and stereo speakers.
A distant second is the Meizu m1, a mid-ranger after a series of flagship devices from Meizu. It beat the Samsung’s new entry-level line that launched with the Samsung Galaxy J1 for second place. 

The Asus Zenfone C and ZTE Blade S6 nearly tied for the bottom. The Zenfone C may share a name with the popular Zenfone 2, but is nowhere near it in terms of specs, which perhaps had a negative impact on its popularity.

LARGEST ECONOMY IN AFRICA NIGERIA

Hi | 6:05:00 PM | Be first to comment
To READ IN SWAHILI CLICK HERE
On April 6, 2014 Nigeria pushed South Africa from its number one spot as the biggest economy in Africa,  and now the reigning  biggest economy in Africa is Nigeria which is also the country with the largest population .
The largest economy title simply means Nigeria has the largest Gross Domestic Product  in Africa, which in turn means as a country, Nigeria earns more income from its economic activities than any other country in Africa.
The recent figures for Nigeria’s year 2013 GDP show that the country made 509.9 billion US dollars, while the then biggest economy South Africa earned 370.3 billion US dollars.
 
The new GDP figures takes into account many other sources of incomes that were not taken into account in the past  in the calculations of Nigeria’s GDP. Such new sources of income include incomes from movie industry (Nigeria’s film industry is called Nollywood) and the booming mobile industry.
 
Apart from including the more sources of income in the country, Nigeria’s first spot as the biggest economy in Africa comes due to its appointment of new base year for the calculation of GDP. In the past Nigeria used year 1990 but the new GDP uses year 2010. In economic terms this is called rebase of GDP.

Bibliography: BBC,EconomistReuters.

NUFAIKA KUPITIA MTANDAO KATIKA KIZAZI KIPYA

Hi | 6:00:00 PM | | Be first to comment
Internet ikitumika vema inaweza kuleta faida kwa mtu mmoja mmoja. Ukiacha kukusaidia kuburudika na kuwa karibu na watu, kuna faida nyingine kubwa ya kuboresha ufahamu wako ili uweze kuwa mpambanaji hodari wa changamoto mbalimbali za maisha.
Jionee hapa :-

1. Yale yasiyowezekana :  Kusoma kunaibua ufahamu wa mambo mengi ambayo pengine ulidhani hayawezekani. Mfano, kama ulidhani si rahisi kuwa mtu wa maisha ya furaha katika mahusiano, baadhi ya makala unazoweza kusoma mtandaoni zitakuonyesha njia zinazoweza kukusaidia kutambua mbinu za kuboresha uwezo wako wa mawasiliano, uwezo wako wa utambuzi wa mahusiano bora na utajikuta unajua uanze wapi. Mfano mwingine unaweza kudhani kuwa wewe hauwezi kuwa na kuendesha blogu, ila baada ya kusoma makala fulani hapa mtandaoni ukajikuta unaweza kuwa na blogu ‘kali’ sana.

2. Mambo yanabadilika: Mengi unayodhani yapo sahihi , pengine hayapo sahihi kwa sasa. Pia mazingira, ufahamu wa watu wengine, teknolojia, hali ya uchumi na kisiasa zinabadilika kwa kasi sana. Hii inaathiri ufanisi wa asasi mbalimbali, na hata ufanisi na ushindani wako katika soko la ajira na ujasiriamali kwa ujumla. Bila kujiboresha mara kwa mara katika kujifunza mambo mapya, unaweza kujikuta upo nyuma ya wakati.

ZUIA WATU WASIFUNGUE AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK AU EMAIL

Hi | 5:55:00 PM | | Be first to comment
KAMA HAUKUJUA BASI JUA KUWA

Kuna wakati hata kama mtu anayo PASSWORD yako ya FB au akaunti yako ya barua pepe bado hawezi kuingia kwa akaunti yako.

Unaweza dhibiti watu wengine wasifungue akaunti yako ya email au Facebook kwa kufuata huduma ya ku sign in mara mbili.

Yaani ipo hivi:

1. Mara ya kwanza una sign in kama kawaida kwa kutumia ID na PASSWORD yako, ambapo hivi ndio umekuwa ukifanya wakati wote.

Ila kwa huduma hii ya kusign mara mbili, ID na PASSWORD pekee hazikuruhusu kuingia kwa akaunti yako.

2. Utakapomaliza ku sign in , utatakiwa kufuata hatua ya kuweka CODE maalum ambayo utatumiwa kwa njia ya ujumbe mfupi kwa simu yako. Au la pengine tayari ulipojiandikisha kwa huduma hiiya kusign mara mbili, basi uliweza ku download CODES maalum ambazo ni wewe tuu ndio utaweza kuzitumia.
---Fuata maelekezo ya jinsi ya kutumia huduma hii ya kusign mara mbili kwa kubofya link hapo chini.


FACEBOOK KUSIGN IN MARA MBILI ...BOFYA   GMAIL KUSIGN IN MARA MBILI ........BOFYA

YAHOO KUSIGN IN MARA MBILI .......BOFYA

TUJIFUNZA KUHUSU MIAKA 10 YA FACEBOOK

Hi | 5:40:00 PM | | Be first to comment
Facebook imetimiza miaka 10 toka ianzishwe. Na katika kusherehekea siku hiyo mwanzilishi wake Mark Zuckerberg aliandika barua (BOFYA HAPA KUSOMA BARUA YOTE) kwa watumiaji wote wa FB akieleza mambo kadhaa. Makala hii inachambua mambo ya baadhi ya mambo yalivyoelezwa na Mark, na nini waweza jifunza kutoka kwake:
1. MARK: I remember getting pizza with my friends one night in college shortly after opening Facebook. I told them I was excited to help connect our school community, but one day someone needed to connect the whole world.
TAFSIRI: Nakumbuka nikiwa napata PIZZA (chakula cha kiitaliano) na marafiki zangu usiku mmoja chuoni mara baada ya kufungua Facebook. Nikawaambia nilikuwa ninasisimka kwa kuunganisha jamii yetu ya chuo chetu, ila ipo siku kuna mtu atahitajika kuiunganisha dunia.

TAFAKARI: Kwanza hapa tunaona jinsi ndoto kubwa inavyosaidia kukuza biashara. Mark pamoja na kufurahia kuwa alipata mafanikio ya kuunganisha jamii ya chuo chake, bado hakubweteka na mafanikio hayo. Alijua kuwa kuna haja ya kuwa na kitu kama FB na alijikita kutimiza ndoto yake, na katika kutimiza huko amejipatia utajiri pia.

Pili tunaona kuwa aliwadokeza marafiki zake kuhusu ndoto yake. Hata hivyo hakuna aliyekuja kwa mtindo ambao FB walikuja nao. Kumbuka kabla ya FB ilikuwepo mitandao mingine ya kijamii, na hata baada ya FB imeanzisha mitandao mingine mingi ya kijamii.  Hapa wabongo wenzangu tujifunze kutafuta UPEKEE wa miradi yetu sio tuu ku copy na ku paste.


CHUKI NI TATIZO LA KIFIKRA SOMA ZAIDI

Hi | 5:14:00 PM | | Be first to comment
Sisi binadamu namna yetu rahisi ya kuelewa na kukumbuka mambo ni kwa kuyaweka mambo katika makundi mfano tunawagawa watu katika makundi kama marafiki, ndugu, watoto, maadui, warefu, wafupi, n.k. Makundi haya yanatusaidia kujenga picha ya haraka hata kama wakati fulani hatuwezi kuelezea wazi wazi kundi husika ni nini haswa na pia kunaweza kuwa na tofauti kati ya watu au vitu katika kundi husika.

 
Mtindo huu wa kutambua vitu au watu kwa makundi ndio unaopelekea pia kuwepo kitu tuiitacho kwa kiingereza PREJUDICE yaani CHUKI.
Kwakuwa umezoea kuwaweka watu katika makundi fulani, na kuwatambua watu kwa makundi kutokana tayari na aina ya picha ya kundi husika , basi waweza kujikuta ukiwaweka tuu watu katika makundi na kuwatafsiri hivyo, ingawaje sio sahihi kwani ingawaje wewe unafikiria na kutambua kwa njia ya MAKUNDI, kumbuka kuna utofauti mkubwa kati ya mtu aliyepo katika KUNDI na maana unayoipa KUNDI husika.
 
Hivyo unaweza kumtafsiri mtu kuwa MVIVU/MWIZI/MWONGO kwa sababu tuu unamuona yupo katika kundi fulani ambalo wewe huwaita wavivu/Wezi/waongo, ila kiukweli huyo mtu mmoja sivyo unavyodhani.
Mara ngapi umesikia mtu akisema "Vijana wa siku hizi wavivu", na wengine wamekosa kazi kwa sababu tuu eti wamemaliza chuo fulani hivyo "hawana ujuzi".

CHUKI au PREJUDICE ni pale unapowatafsiri watu wengine VIBAYA kwa sababu kiakili yako wapo katika MAKUNDI ambayo ni mabaya. Unaamini kwa mfano kila anayefanya biashara ONLINE ni tapeli, kila mwenye NGO basi ni tapeli, kila MNIGERIA ni mwizi, n.k
Kumbuka ili kuzuia CHUKI ya namna hii jitahidi kufikiria na kuwaona watu kama mtu mmoja mmoja na sio sehemu ya kundi.
Kuwa makini na namna unavyotafsiri watu kwa kuangalia UMRI , JINSIA, UTAIFA, DINI, KABILA, AINA YA KAZI, MIJI WANAPOTOKA, MAHALI WANAPOISHI n.k
Pia jichukulie wewe ndio ungekuwa una tafsiriwa vibaya ungejisikiaje ?
Soma zaidi kwa kufuata link hii toka ABOUT.COM

WEBSITE TOKA UINGEREZA AMBAYO HUKODISHA WAUME

Hi | 4:49:00 PM | | Be first to comment
Mambo haya bila shaka haukujua kuhusu INTERNET
1. ROBO ya shughuli za utafutaji (search) katika mtandao ilikuwa inahusu NGONO ( Takwimu, toka webroot.com)
 

2. Kuna website ambayo kazi yake yenyewe ni kukusanya kumbukumbu za muonekano wa websites mbalimbali. Hivyo kwa mfano ukitaka kujua Ramsoict blog ilikuwa ikionekana vipi mwaka jana Agost, unaingia kwa hiyo website ya ARCHIVE.ORG kisha unaweka anuani ya blog ya Ramsoict na kubofya sehemu ya kutafuta kumbukumbu. Waweza fanya hivyo mfano kujua FB ya mwaka 2005 ilikuwaje? Au Google ya mwaka jana ilionekana vipi.

3. Na huko nchini Marekani kupitia website ya SHAREYOURMEAL.NET mtu anaweza kununua chakula toka kwa majirani zake, sio lazima aende hotelini.
Ipo hivi, kama wewe umepika chakula kingi kuliko unachohitaji basi unaweka tangazo kwa website hiyo kuwa una msosi unaoweza kushare na watu. Au kama wewe una njaa na haujisikii kupika wala kwenda hotelini, basi unacheki majirani zako wenye chakula unachoweza kujisevia !
 
4. Na kali ya mwisho ni hii website toka UINGEREZA ambayo inakodisha MUME. Inaitwa HUSBANDTORENT.CO.UK, kama mwanamke yupo "single" basi anaweza kupata Mume wa kumsaidia kazi za nyumbani kama kufanya matengenezo madogo madogo, kumtoa out n.k. 
--Na hiyo ndio habari yetu ya leo kuhusu TEKNOHAMA. Endelea kufuatilia MBUKE TIMES uufahamu ulimwengu wa TEKNOHAMA. Tafadhali usiache KUSHARE.

February 2, 2015

TUTORIAL ON HOW TO INSTALL WHATSAPP ON IPAD & IPOD TOUCH NON-JAILBROKEN

Hi | 4:55:00 PM | | Be first to comment
Key Points and Difference between Mac & Windows Video Tutorial
  • Download the specific version of iFunBox for your operating system i.e. Windows or Mac.
  • For Mac PC, WhatsApp IPA file directory is: 
  • ~/Music/iTunes/iTunes Media/Mobile Applications/
  • For Windows PC, WhatsApp IPA file directory is: 
  • C:\Users\Username\My Music\iTunes\iTunes Media\Mobile Applications\
Tutorial on How to Install WhatsApp on iPad & iPod Touch (Jailbroken)

If you're using a Jailbroken iPad and iPod Touch device then "WhatsPad" tweak will allow users to install and activate WhatsApp Messenger. According to iOS developer named "Lee", WhatsPad tweak removes the certain restrictions and make WhatsApp fully functional and compatible with iPad and iPod.

Step 1: First, Download and install the iPhone Configuration Utility via direct links below.
  • iPhone Configuration Utility for Windows
  • iPhone Configuration Utility for Mac
Step 2: Now, Connect your iPad or iPod Touch device with your Mac or Windows PC.

Step 3: Download WhatsApp Messenger for iPhone on your PC / Laptop using iTunes.

Step 4: After that, Launch the iPhone Configuration Utility. You will see the "iPad Connected" on the left side; Click on it.

Step 5: Now, Click on Applications from the tabs you see at the top of your screen.

Step 6: Click on Add at the top left and browse for the WhatsApp Messenger IPA file you download in Step 3. It can be found under the iTunes Media > Mobile Applications folder.

Step 7: Now, Scroll down and click on Install. WhatsApp Messenger will appear on your iPod Touch or iPad’s Springboard.

Step 8: On your iPad or iPod Touch, open up Cydia and install "WhatsPad" tweak from the BigBoss repository.

Step 9: After WhatsPad tweak is installed, You can start WhatsApp Messenger App from your screen and can enter PIN Code for activation which you will receive via text message. Congratulations!! You're done. Enjoy!!

[Source: RedmondPie]

PROJECT SPARTAN WEB BROWSER BY MICROSOFT WILL SUPPORT EXTENSIONS

Hi | 1:06:00 AM | | Be first to comment
The upcoming Project Spartan web browsed by Microsoft will support extensions a la Google Chrome. The development team behind the successor of Internet Explorer confirmed the news on Twitter.

Extensions will arrive to Project Spartan via a future update. Details on the nifty feature are yet to be revealed.
Reportedly, Microsoft is reviewing options that will allow developers of Chrome extensions to port their creations to Spartan with no hassles. Such a move will help Microsoft quickly build a significant catalogue of extensions for its newly announced offspring.
Project Spartan is arguably as significant an announcement as Windows 10 itself. The browser will be part of the latest OS by Microsoft for both mobile and desktop devices.


BILL GATES WORKING ON A PERSONAL AGENT PROJECT AT MICROSOFT

Hi | 12:58:00 AM | | Be first to comment
When Bill Gates stepped down as Microsoft chairman last year, he vowed to “substantially” increase the time he spends at the company, with a particular focus on “ambitious scenarios,” though he didn’t reveal what exactly he would be doing. However, in an Ask Me Anything question and answer session on Reddit yesterday, Gates revealed that he is currently working on a project dubbed Personal Agent.

“One project I am working on with Microsoft is the Personal Agent which will remember everything and help you go back and find things and help you pick what things to pay attention to,” he said. “The idea that you have to find applications and pick them and they each are trying to tell you what is new is just not the efficient model – the agent will help solve this.”
While that sounds something which would fit in nicely to Cortana, the software giant’s virtual assistant which is coming to desktop soon, Gates specifically mentioned that it would be a cross-platform product, meaning that in addition to Windows it would also be available on devices that run iOS and Android to say the least.

Given the fact that Microsoft has been working in the digital assistant space for a while now, and co-founder Bill Gates is helming the project, it would be interesting to see how the product shapes up.


SEND MONEY IN THE UK WITH GOOGLE WALLET

Hi | 12:53:00 AM | | Be first to comment
Google Wallet is just one of countless Google services that have become so intertwined in our everyday lives that we hardly notice it. And if you own an Android device and have ever purchased an app from the Play Store that money did indeed get wired through this very service.

The payment platform is now becoming even more readily accessible thanks to a recent Google update that integrates payments straight into Gmail. For now only UK users, aged 18 and up can enjoy the new functionality and it does look like a time-saver.

CASE FOR THE UPCOMING APPLE IPAD PRO

Hi | 12:48:00 AM | | Be first to comment
Purported live photo of a protective case for the yet to be announced Apple iPad Pro made the rounds online. The image was posted by Nowhereelse and is said to come from a reliable source

The photo gives us a potential glimpse of the upcoming tablet’s hardware controls. A notable new feature that the large-screen iPad might bring is high-quality sound – the quartet of evenly placed cutouts on the case are most likely made for speakers.

Furthermore, the image clearly reveals cutouts for the tablet’s volume rocker and Lightning port, as well as its camera. Cellular connectivity is also all but certain – the slot on the side of the case is likely for a SIM card. 

Curiously, the leaked case falls in line with an artist rendering of the iPad Pro from a few days ago. The 3D model of the upcoming slate also showcases four speakers.
Apple iPad Pro is expected to launch at some point in Q2 or Q3 this year. The full-size slate is all but certain to launch with an optional stylus.


HTC ONE (M9) “HIMA” TO COME WITH ADDITIONAL DOTVIEW COLORS

Hi | 12:45:00 AM | | Be first to comment
More rumors regarding the HTC One (M9) “Hima” are inbound and the latest round of them is concerning the DotView case. According to @upleaks, HTC is going to out additional DotView colors for the phone’s launch.

The colors in question are turquoise and yellow and they’ll presumably join the already existing blue, black, dark red and orange options. There’s no information yet about the accessory’s pricing, but we assume it’s going to remain $49.99.
For your convenience, we gave a shot at coloring the DotView case in the aforementioned new colors for you to check out how it looks. Fresh is definitely a word we’d use to describe them.

Alleged photo of the One (M9) and One (M9) Plus leaked a couple of days ago revealing a familiar design. We’ll know more about the device pretty soon as the company announces the phone at the “Utopia in progress” event.



KUANGALIA MOVIE NA KUTOKWA MACHOZI

Hi | 12:41:00 AM | Be first to comment
Inakukumbusha kuwa hisia huweza kukufanya uamini jambo na hata udhani ukweli ndio huo kumbe kilichopo ni msukumo tuu wa hisia zako kuhusu kitu husika.
Na kama wanavyojifunza watu wanaotengeneza movie namna bora ya kujenga kitu chenye kubeba HISIA, usisahau wapo wengine wanaotumia MBINU HIYO YA HISIA, kukuaminisha mambo ambayo pengine sio sawa, pengine kwa akili ya kawaida usingeyakubali.

Upo uwezekano wa HISIA zako kutumiwa na mtu mwingine ku "take advantage of you " - sijui tuseme vipi kwa kiswahili -pengine neno sahihi la "take advantage of you" ni mtu kukufanya ufanye jambo kwa kutumia upenyo wa wema wako au kwa sababu wewe umeingia katika mtego waliouweka.
  
Ingawaje inaweza kuwa ngumu kutumia AKILI mahali ambapo unatumia HISIA, naamini wewe kufahamu hili la kuwa HISIA zako zinaweza kutumika vibaya na mtu mwingine, kunaweza kukufanya uwe makini na maamuzi yako unayoyafanya kwa hisia.
--Maeneo ambapo HISIA zako zinaweza kutumika vibaya ni kama kwenye mapenzi, urafiki, dini na siasa. Hata hapa FB nimewahi kuona posts zikisema kama kweli wewe unapenda ...fanya hivi...Hii inalenga hisia zako kwani si kweli kuwa KUTOKUFANYA hicho wanachosema kunabadilisha lolote kuhusu UPENDO wako, au MSIMAMO wako kuhusu jambo fulani. 
N:B Hadithi ya hisia na movie ni kwa hisani ya Andy Hunt katika kitabu chake PROGRAMATIC THINKING AND LEARNING.

WHATSAPP STARTS ROLLING OUT CALLING FEATURE

Hi | 12:32:00 AM | | Be first to comment
WhatsApp’s much requested calling feature has been rumored for a while now but the company has finally flipped the switch on it. One reddit user was able to get the feature activated on his number and it is now rolling out to others as well. 

For now it seems WhatsApp is going slow with the rollout, with the only people who have the feature being those who were called by someone who already has the feature. So although it helps to have the latest version of the app installed on your device (for Android users, it’s usually the APK available through the website), you’ll still have to wait for it to roll out to you or someone with the feature to call you. 

As for the interface, the calling feature adds individual calls, chats, and contacts tabs at the top. First shows your recent calls through the apps, second shows your chats and the third is for your contacts. The call interface is fairly simple, showing the name and WhatsApp image of the person you are calling. 

WhatsApp hasn’t yet announced the feature officially on their blog, so it could still be in testing phase, but at least we now know it exists for sure and is now very close.


Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster