January 24, 2015

GOOGLE YATUPA MACHO YAKE KATIKA ANGA ZA JUU

Hi | 3:36:00 PM | |
23 Januari 2015 Imebadilishwa mwisho saa 14:39 GMT
Google imetupa macho yake katika anga za juu.
Wiki hii ilichangisha dola bilioni 1 kufadhili teknolojia za kutumia kutafiti anga za juu, na sasa inamiliki asilimia 10 ya kampuni ya kutengeza teknolojia hizo 'spacecraft manufacturer'.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster