May 16, 2013

TASWIRA ZA UZINDUZI WA MSIMU MPYA WA CLOUDS FM DODOMA

Hi | 5:55:00 PM | | | | | | |
Msanii mahiri wa Mashairi hapa nchini,Mrisho Mpoto akiwakuna vilivyo wakazi wa mji wa Dodoma alipowaangushia maneno kadhaa na umati kulipukwa na mayowe kila kona,ambapo Clouds FM wamezindua msimu wao mpya.
Snura akiimba jukwaani wimbo wake unaotamba kwa sasa katika vituo vingi vya redio,uitwao Majanga,mbele ya maelfu ya watu waliofika kwenye uwanja wa Jamuhuri

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster