May 16, 2013

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA IJULIKANAYO KAMA AIRTEL PREMIUM

Hi | 7:34:00 PM | | | | |
 Mkurugenzi mkuu wa Airtel Sunil Colaso akimzawadia  bi Rose Maina mmoja wa wateja katika uzinduzi wa huduma mpya kwa wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam akifuatiwa na Mkurugenzi wa huduma kwa wateja bi Adriana Lyamba.
 Mteja wa Airtel bw. Picket Robert Miranda (kushoto) akiongea na mkurugenzi wa huduma kwa wateja Adriana Lyamba (kulia) na Meneja wa huduma kwa wateja Hilda Nakajumo (katikati)  katika uzinduzi wa huduma mpya ya wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam.
Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Airtel Adriana Lyamba akimzawadia  bw. Abdual Salum mmoja wa wateja katika uzinduzi wa huduma mpya ya wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam, akishuhudia ni  Mkurugenzi Mkuu wa Airtel  Sunil Colaso.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster