August 30, 2012

MTOTO KUWAKILISHA TANZANIA KUPITIA MCHEZO WA ‘TAEKWANDO

Hi | 5:16:00 PM | |
Jina: AikaRose Mwasha
Jinsia: Kike
Miaka: 12
Utaifa: TANZANIA
Mchezo: Taekwando
KILO: 28 kg- beginners FEMALE
Club: Nong Jang
Makazi: Leuven Belgium
MAFANIKIO: Medali Ya Fedha & Dhahabu

Kijana wa kitanzania mwenye ndoto ya kuwakilisha nchi yake kwenye mashindano ya kimataifa hapo usoni kwa kupitia mchezo wa mbinu za kujihami wa ‘Taekwando’ ,anamapenzi makubwa na mchezo huu aliouanza angali mdogo akiwa na umri wa  miaka 9 ,ameshashiriki mashindano madogo madogo nchini Belgium na kupata mafanikio makubwa kufikia medali ya fedha. Hivi karibuni alifanikiwa kupata medali ya dhahabu katika mashindano ya Olympic open Brussels yaliyofanyika Rue Du Lombartzyde Brussels, Belgium tarehe  27 May 2012.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster