June 8, 2011

YOUNG GIRLS LEADERSHIP SKILLS TRAINING SESSION 3

Hi | 6:03:00 PM |
 Washiriki katika pozi Action
 Wanafuraha sana wote katika semina hii

 Bi. Jovitha Mlay Mtendaji mkuu wa Kampeni ya Tunaweza akiwa katika Semina akiwa kama Jaji wakati wa Maigizo kwani wanasemina walifanya mchezo katika vikundi vitatu ili kujengeana uwezo wa kujiamini zaidi.
 Mkurugenzi Mtendaji wa EBLI Mr. Benard Makachia ambaye ndiye mwezeshaji wa mafunzo kwa vijana.
 Wanatamani na wanapenda kupigwa picha
 Sandra wa Shija nae katika pozi
  Ana tabasamu nimeipenda sana picha hii...!
 Amefurahia sana
 Semina kwa vikundi wakijadiliana ili kuunda Igizo zuri
 Skafu ilimtoa sana ungekuwepo naamini ungependa
 Anafikiria kwa kina sana nn cha kuzungumza kwa wenzake
 Jamani mwafrika wa ukweli huyu
 anafikiri kitu ila anatamani kusema vile
 Mdada huyu huwa yuko makini sana hasa wakati wa maigizo ki ukweli kama akiendelezwa anaweza kuwa Actor mmoja matata sana kwani ana kipaji toka moyoni.
 Alikuwa anawaza sana wakati huu.
 Action haya ni mambo ya maigizo wakati wa kuwaburudisha wengine ilikuwa poa sana.
 Mdada huyu anajitahidi pia hasa linapokuja swala la Action pia hajali watu wanaomzunguka daima.
 
 washiriki wanafurahia baada ya kuona igizo la kuvutia
 Sandara looking gud baby Big up katotoo
 Wana semina eneo la tukio
Wametuliaaaa kweli mpaka raha
Tutaendelea kwa wakati mwingine tena uskose..!!

2 COMMENTS:

Anonymous said...

Jamni hongera sana Ramso kwa blog yako nzuri inayotoa matukio mazuri yenye kuelimisha jamii. Hongera kwa vijana waliopata mafunzo ya leadership and special goes to baby Sandra kwa umri wake and what she is doing she real deserve a big up

Hi said...

Asante sana jamani na nashukuru kwa mchango wako kufika katika blog hii na kuangalia baadhi ya matukio Mungu akubariki daima

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster