June 7, 2011

MKUTANO WA MWAKA WA WANAMABADILIKO

Hi | 11:40:00 AM |
Tunaweza ni Kampeni ya Miaka 5 yenye lengo la kuwafikishia kuwa Ukatili dhidi ya wanawake haukubaliki hivyo basi wachukue Hatua na Kampeni hii itatekelezwa na mwanamabadiliko. Mwanamabadiliko ni mtu yeyote itikadi yeyote Mwanaume, Mwanamke, Mvulana au msichana, ambaye anaweka dhamila ya kubadili tabia na mienendo yake kuhusu Ukatili dhidi ya Wanawake na pia kazi ya mwanamabadiliko ni Kujitolea, Kuongea na kuwashawishi watu wengine 10 kubadili tabia na mienendo yao na wakifanya kazi kama vikundi au kila mmoja Peke yake "Pamoja Tunaweza Kuondoa aina zote za Ukatili Majumbani.
 Huyu ndie Mratibu mkuu wa mradi wa We Can Campaign Jijini Mwanza anaitwa Bi. Jovitha Mlay
 Jovitha Mlay akielezea nini maana ya We can Campaign katika sherehe hii ilifanyika katika Ukumbi wa Mwanza Youth Uliopo Mlango mmoja Mwanza.
Washiriki wakishiriki kikamilifu kwa nyimbo mbali mbali
 Wanamabadiliko waliobadilika ki ukweli kabisaaaaaa
 Kijana akiongelea mabadiliko aliyoyapata baada ya Kampeni kuifahamu.
Kushoto ni Leah Sotel kutoka Shirika la Nguvu Kazi linalotoa Ushauri Nasihi na wa Kisheria, Kulia ni Mtendani mkuu Bi. Tonny Ndunguru wa Shirika lisilo la Kiserikali Chemichem ambalo hutoa dawa za asili kwa ajili ya Tiba ya magonjwa mbali mbali wanapatikana Barabara ya Mkanyenye Jijini Mwanza
 Washiriki walivalia Kofia na wakapendeza sanaaaa
 Wanasikiliza kwa makini saaana maada mbali mbali
 Wanaharakati kutoka Shirika la Ukami wanaotoa mafunzo ya Chelehani na Kompyuta kwa watoto wafanyakazi wa nyumbani Jijini Mwanza pia wanapatika Isamilo
 Mhamasishaji Prosper Mwalimu wa Lake Primary School akitoa neno kwa washiriki
 Bwana Omary Abubakari mmoja kati Staff wa Chemichem Company akiandika kwa makini
 Safi sana mamiiiii umetulia sana unasikiliza
 Lucy Kijana aliyepata mafunzo ya SFA na sasa anaelimisha vijana kila pande anapotembelea
 Yassin Ally aliyekuwa anaendesha semina akimpatia maelezo kidogo Mshiriki.
 Wametulia hakika ilikuwa nzuri sana
 Vijana wanaharakati wakiongea kwa uchungu juu ya mabadiliko yao juu ya kampeni ya Tunaweza
Mr Shabani Ramadhani Mkurugenzi wa MYCN
 Anaongea kwa Hisia mno
 Yuko makini sana hasa anaposhika maiki

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster