JIUNGE NASI KUPITIA HAPA
TAFUTA CHOCHOTE BLOG
SOMA HABARI KWA MIEZI
SOMA ALAMA ZA NYAKATI
August 15, 2011
MCHEZAJI SINEMA MAARUFU AFARIKI DUNIA INDIA
Hi | 10:03:00 AM |
MCHEZAJI WA SINEMA MAARUFU KUTOKA NCHINI INDIA AITWAYE SHAMIR KAPOOR PICHANI MWENYE UMRI WA MIAKA 76 AMEFARIKI DUNIA SIKU YA JANA KATIKA HOSPITALI MOJA NEW DELHI NCHINI INDIA, CHANZO CHA KIFO CHAKE INASEMAKANA ALIKUWA ANAUMWA MAGONJWA YA MOYO, MCHEZAJI SINEMA HUYU ENZI ZA UHAI WAKE ALIWAHI KUCHEZA MOVIE ZAIDI YA 150 MIAKA YA 2006, IKIWA TANZANIA SASA NI SAA 3 NA NUSU INDIA IKIWA NI SAA 6 KASORO SIKU YA LEO WANAELEKEA KUHIFADHI MWILI WA MAREHEMU, MUNGU AKULAZE MAHALA PEMA PEPONI AMINI.
0 COMMENTS:
Post a Comment