Jmani msiwaige wa Nigeria jamani watawaponza maana wanawapa maneno
matamu huku wanawamaliza taratiibuu, Sonia ni msichana aliyekuwa anaishi
Uk na chanzo cha habari hii kimeniambia alipata connection ya Nigerians
wanaoishi Uk kupeleka sembe Italy, yaliyomkuta ni yale mambo kucheza
segere ndani ya tumbo lake na kupelekea umati wake (vitu vimepasukia kwa
tumbo)
wanawake/wasichana why?/ maana kwa sasa sisi tunashika hatamu, kweli haya majanga jamani kataeni msiwe warahisi kukubali vitu kwa sababu ya ugumu wa maisha, hakuna permanent situation so hicho kipindi kigumu kitapita tu, kila siku nawaletea mifano na uthibitisho kwamba hivyo vitu ni noma lakini hamkomi
wanawake/wasichana why?/ maana kwa sasa sisi tunashika hatamu, kweli haya majanga jamani kataeni msiwe warahisi kukubali vitu kwa sababu ya ugumu wa maisha, hakuna permanent situation so hicho kipindi kigumu kitapita tu, kila siku nawaletea mifano na uthibitisho kwamba hivyo vitu ni noma lakini hamkomi
0 COMMENTS:
Post a Comment