Mwenyekiti
wa Jukwaa la wahariri, Ndugu Absalom Kibanda akiwa hospitali ya taifa
ya muhimbili muda mfupi baada ya kuvamiwa na kupigwa vibaya na watu
wasiojulikana.picha hii imepigwa saa tisa usiku wa leo na Mdau Chongoloh
---
Mwenyekiti
wa Jukwaa la wahariri, Ndugu Absalom Kibanda, amevamiwa usiku wa
kuamikia leo akiwa anashuka nyumbani kwake Mbezi Beach na watu
wasiofahamika na kumpiga kichwani.Amepata majeraha Makubwa kichwani na
hasa jichoni
0 COMMENTS:
Post a Comment