
Ni bango lililotundikwa eneo la Kilimahewa wilayani Ilemela jijini Mwanza.
Kuhusu mawasiliano ambayo yameandikwa chini mwishoni mwa karatasi hiyo ni
0655 905 559
0756 520 154
0789 905 559
0222 405 682
Chunguza kwanza ili isije ikakugharimu mdau usidanganyike na tamaa ya vishawishi vya pesa!! Hakuna faida yeyote utakayokuwa nayo kwa kutumia pesa za kimiujiza ambazo hujazitolea jasho. Mwisho
Kuhusu mawasiliano ambayo yameandikwa chini mwishoni mwa karatasi hiyo ni
0655 905 559
0756 520 154
0789 905 559
0222 405 682
Chunguza kwanza ili isije ikakugharimu mdau usidanganyike na tamaa ya vishawishi vya pesa!! Hakuna faida yeyote utakayokuwa nayo kwa kutumia pesa za kimiujiza ambazo hujazitolea jasho. Mwisho
0 COMMENTS:
Post a Comment