December 8, 2012

SASA MAMBO WAZIWAZI WAPENDA PESA HII NI KWA WASIOPENDA KUJITUMA FREEMASON WATINGA BILA KUJIFICHA ENEO LA KILIMAHEWA WILAYANI ILEMELA JIJINI MWANZA

Hi | 4:25:00 PM | |
Ni bango lililotundikwa eneo la Kilimahewa wilayani Ilemela jijini Mwanza.
Kuhusu mawasiliano ambayo yameandikwa chini mwishoni mwa karatasi hiyo ni
0655 905 559
0756 520 154
0789 905 559
0222 405 682
 

Chunguza kwanza ili isije ikakugharimu mdau usidanganyike na tamaa ya vishawishi vya pesa!! Hakuna faida yeyote utakayokuwa nayo kwa kutumia pesa za kimiujiza ambazo hujazitolea jasho. Mwisho

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster