Mkazi wa Mtaa wa Mbete,Kata
ya Isanga Jijini Mbeya BwanaYussuf Hamad (39),anatuhumiwa kumpa mimba binti
yake wa kumzaa(16) jina lake limehifadhiwa.
Hayo yamethibitishwa na Mama mzazi
wa binti huyo Bi, Regina Simon(35) baada ya kupata taarifa Mei 11 mwaka huu
kuwa binti yake ana ujauzito wa miezi minne,na kuamua kutoa taarifa kwa
Balozi wa mtaa huo Bwana Steven Ovaova ambaye naye alitoa taarifa kwa
Mwenyekiti wa Kitongoji Bwana Angelo Sanga.
Hapa bwana Yussuf Hamad akitoka mahakamani kwa aibu
Hapa jamaa akijitahidi kukwepa kamera za waandishi wa habari
Binti
huyo ambaye alipewa mimba na baba yake mzazi amejifungua mtoto wa kike ambae sasa anamiezi mitatu, binti huyo
kaletwa jana mahakamani hapo kama ushahidi wa kesi hiyo na kesi imehairishwa mpaka tarehe
12/12 mwaka huu.
Hapa akiwatishia na jiwe watu waliokuwa wakimuzomea baada ya kutoka mahakamani
0 COMMENTS:
Post a Comment