October 12, 2012

TASWIRA ZA MAPIGANO YALIYOJIRI MBAGALA BAADA YA MTOTO WA MIAKA 14 KUCHOMA QURAN

Hi | 10:50:00 PM |
Baadhi ya waislamu waliokataa kutii amri ya Polisi wakipata mkong'oto katika vurugu zilizozuka Mbagala, Dar es Salaam leo, ambapo waliandamana hadi kituo cha Polisi Mbagala Kizuiani kutaka kumuadhibu mtoto aliyeikojolea kuran
 Barabara zilifungwa kwa mawe na askari kupata wakati mgumu kupita.
Moja kati ya makanisa matatu yaliyovunjwa, hapa baadhi ya waandishi wa habari wakiangalia vioo vilivyovunjwa kwenye Kanisa hilo Jipya la Wasabato lililopo upande wa magharibi mwa karibu na kituo cha mabasi kizuiani.
 Barabara zilizuiwa na matariri yaliyochomwa moto
 Mtuhumiowa akipandishwa kutoka kwenye mtaro kuelekea kwenye gari.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster