October 19, 2012

SHEIKH PONDA AKAMATWA NA POLISI

Hi | 10:19:00 PM |
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda amekamatwa na polisi. Inasemekana Sheikh Ponda amekamatwa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo ya uchochezi dhidi ya Serikali. Watu wanaosaidikiwa kuwa ni wafuasi wa Ponda wamekusanyika katika kituo cha Polisi Kati Jijini Dar es Salaam kushinikiza kiongozi wao huyo anayeshikiliwa polisi aachiwe.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster