Kifo cha Steve kimeibua simanzi kubwa katika tasnia ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa kuzingatia kuwa Steve alikuwa mbunifu.
Steve Jobs alijiuzulu kama mkurugenzi wa kampuni hiyo mwezi Agosti mwaka huu kufuatia kuugua saratani ya bandama tangu mwaka 2003 na alifanyiwa ubadilishaji wa ini mwaka 2009
0 COMMENTS:
Post a Comment