June 20, 2011

Maisha Bora Ndiyo haya..!

Hi | 9:43:00 AM |
Watoto hawa nilikutana nao eneo moja jijini Mwanza linaloitwa Ilemela wakiwa wamevalia nguo zao za shule zikiwa ni kama vipande kwa kweli inatia huruma sana Jinsi watoto wetu wanavyosoma kwa tabu kuanzia kula mpaka mavazi ni tatizo kwa Watanzania
 Wakiwa katika pozi watoto hawa yaan..!!

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster