
Kampuni hizo za Standard Media, inayomiliki television kibinafsi ya KTN na National Media Group inayomiliki NTV na QTV pamoja na Royal Media Services inayomiliki Citizen TV
zimekuwa katika malumbano na Serikali ya Kenya kuhusu uhamiaji wa
kurusha matangazo kwa kutumia mfumo wa digitali kutoka analojia.
Hata hivyo wasimamizi wa vituo hivyo
wametumia njia ya mitandao kurusha matangazo yao, huku halmashauri ya
Mawasiliano nchini humo imewataka waende mahakamani ili kufikia muafaka
juu ya wala hilo.
0 COMMENTS:
Post a Comment