
Sio
kila anaesema video sio nzuri basi anaponda. Nakubali wabongo tunapenda
sana kuponda lakini binafsi ni fan mkubwa wa MwanaFA na AY, nawakubali
sana watu hawa.
Nyimbo ni nzuri sana na nilitegemea video ya hali ya juu sana ili
kuitendea haki. Kwa kweli lazima tuwe wazi muda mwingine, na anaekuambia
ukweli anakupenda.
Video quality ni poor, hizo mixing za negative na fading, dancing
routines, emotions, ni kama vile haikufanyiwa matayarisho ya uhakika.
Nilitegemea zaidi toka kwenu AY na FA

sawa kabisa jombaa

Wabongo
bana mbona tunapenda kuponda sana huo wivu tu ukiulizwa haya ubaya wa
video uko wapi utajibu fulani hajui kuvaa kama hujui kuhusu video bora
ukae kimya au ulitaka wakaitoe kijijini kwenu tusipende kufuata mkumbo
kisa mwenzio kasema hivyo na ww unaiga wanaojua kuhusu video tunasema
video nzuri

hapo kweli jimbo bab kubwa sana sema video very poor wamechemsha kweli kweli
habari eliza.czy jestes w polsce?

BILA KUKUNJA GOTI
0 COMMENTS:
Post a Comment