October 23, 2013

NATAFUTA MWENZA/MPENZI/RAFIKI WA KALAMU NA KUCHATI

Hi | 3:02:00 PM | | | |
pole kwa kazi ngumu ya ujenzi wa taifa kwanza naanza kutoa langu la moja kwaniaba ya (JAMESI, DOTTO .)anamtafuta mpwa wake anayefahamika (MATIAS.MIPAWA .JAMESI.)aliondoka mwaka .2001.shinyanga .wilaya.maswa akidai anaelekea masasi popote pale alipo kama akiweza kusoma uk.yoyote tuwasiliane kwa namba (0752710828,0767113924.asanteni  

Geofrey wa dar nina miaka 24 natafuta girlfriend awe na miaka 17~21 awe mnene kiasi awe anakaa dar nitafute kwenye 0783562785.

NATAFUTA RAFIKI WA KIKE (MCHUMBA) , ALIYE SERIOUS. Mimi ni kijana mvulana, wa kitanzania kutoka mkoa wa mbeya. Nipo serious katika swala hili. Natafuta rafiki wa kike kwa urafiki utakaoishia kwenye uchumba kisha ndoa kama tukiridhiana na kukubaliana . Nahitaji mtu ambaye pia yupo serious katika swala hili vinginevyo kama haupo serious kaa pembeni maana sipendi kupotezeana muda. WASIFU WANGU: UMRI WANGU: miaka 28 DINI YANGU: mkristo SINA MTOTO, SIJAWAHI KUOA. MWONEKANO WANGU: Mimi ni mweusi kiasi, mwembamba, sio mfupi sana wala sio mrefu. Mambo mengine kuhusu mimi nitamweleza muhusika baada ya kuwasiliana. WASIFU WA MSICHANA NINAYEMUHITAJI: UMRI WAKE: asizidi miaka 23 DINI YAKE: mkristo ELIMU YAKE: yoyote KAZI YAKE: mwenye kazi au asiye na kazi. MWONEKANO WAKE: awe na umbo la wastani (asiwe mnene sana wala mfupi sana). MUHIMU ZAIDI: awe mweupe na awe asili yake mikoa kati ya Dar, Moro, Iringa au mbeya

Natafuta rafiki wa kuchat hasa wadada 0786237866

Naitwa frank,natafuta rafiki wa kuchat hasa wakike 0786237866

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster