July 4, 2013

BREAKING NEWS..! KILA MTANZANIA ANAYEMILIKI SIMU YA MKONONI UTALIPA KODI YA SERIKALI TSH . 1000 KUPITIA LINE YAKO

Hi | 10:25:00 PM | | | | | |
Kila mtanzania anayemiliki simu ya mkononi utalipa kodi ya Tshs 1000/= kwa mwezi kwa kila kadi (laini) ya simu uliyonayo na hii  imepitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na imeanza rasmi sasa, Kiasi hicho cha pesa unalipa wewe mwenye line na kampuni yako itakusanya kwa niaba ya serikali.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster