June 29, 2013

NAY WA MITEGO NA DIAMOND NJIANI KUACHIA NGOMA NYINGINE WAKIWA KATIKA COLLABO

Hi | 3:25:00 PM | | | | | | |
Wakali wa ngoma “MUZIKI GANI” , yaani Nay Wa Mitego Na Diamond wako njiani kuachia ngoma nyingine wakiwa katika collabo …

Inasadikika kuwa Platnumz na Wa Mitego wamesharekodi ngoma kadhaa ikiwemo SALAMU ZAO, UTAKULA JEURI YAKO na nyinginezo ila wanashauriana ni ipi ya kuto
MUZIKI GANI imefanya vizuri sana na wasanii hawa na hakutakuwa na tatizo kama wakiendeleza kazi zao kwa pamoja … Wasanii hawa wako kwenye ziara zao tofauti kimuziki lakini tuwategemee tena na ngoma nyingine kali

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster