June 28, 2013

BASI LA KAMPUNI YA SABENA NA. T 887 AYG LAPATA AJARI ENEO LA MAJI MASAFI-MBEYA

Hi | 11:04:00 PM | |
Mtambo wa Wachina ukinyenyua gari la Kampuni ya Sabena baada ya kupata ajali eneo la maji mazuri Kawetere barabara ya Chunya likiwa linaelekea Tabora.

Baadhi  ya abiria walionusurika  wakihamisha mizigo yao kutoka katika gari lililopata ajali ya Kampuni ya Sabena.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster