Hii ndiyo gari aliyokuwa akimiriki msaani wa miondoko ya Hiphop Ney wa mitego jinsi inavyoonekana bada ya ajali, Chanzo kinasema kuwa Ney wa Mitego alikuwa akitokea Coco Beach kutazama mpira wa miguu na kuna Lori kubwa lilipita na kuwavaa kisha kutoweka kusikojulikana na likiwa na mwendo kasi sana, Ila Ney wa Mitego hajadhurika chochote zaidi ya rafiki yake waliyekuwa kuwa naye ndani ya gari.
JIUNGE NASI KUPITIA HAPA
TAFUTA CHOCHOTE BLOG
SOMA HABARI KWA MIEZI
SOMA ALAMA ZA NYAKATI
February 19, 2013
MSANII WA BONGO MKALI WA HIPHOP NEY WA MITEGO APATA AJARI MBAYA
Labels:
BONGO ARTIST,
BONGO MOVIE,
BURUDANI,
EAST AFRICA,
JAMII,
MUSIC
0 COMMENTS:
Post a Comment