Kenyela akiongea jambo juu ya ajali hiyo.
SEHEMU ya ukuta wa kituo cha mabasi ya
kwenda mikoani cha Ubungo, jijini Dar es Salaam, leo alfajiri umeanguka
na kuyaharibu vibaya magari zaidi ya ishirini yaliyokuwa yameegeshwa
nje ya eneo hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyela alisema kuwa idadi ya magari yaliyopatwa na ajali hiyo yanakadiriwa kufikia 24 ambapo watu watatu wanasemekana wamejeruhiwa.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyela alisema kuwa idadi ya magari yaliyopatwa na ajali hiyo yanakadiriwa kufikia 24 ambapo watu watatu wanasemekana wamejeruhiwa.
0 COMMENTS:
Post a Comment