January 9, 2013

KIBAKA APOKEA KICHAPO MARA BAADA YA KUDAIWA KUIBA NYAMA YA(KITIMOTO)

Hi | 2:01:00 AM | | |
Kijana mmojaambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja akilia kwa uchungu mara baada ya kupokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mara baada ya kudaiwa ameiba nyama ya Nguruwe (Kitimoto) pamoja na Bia katika glosali jijini Dar es Salaam.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster