Wapenda
burudani wa jiji la Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii wamesherekea
uzinduzi wa Club mpya inayojulikana kama 327, iliyopo mitaa ya Mikocheni
katika usiku uliopambwa na burudani na vinywaji.

Kabla
ya uzinduzi rasmi wa club hiyo ulioanza saa tano kamili usiku,
kulitanguliwa na sherehe maalumu iliyohudhuriwa na wageni 125
waliokaribishwa na Moet na Chandon
Vyumba
hivi ni maalumu kwa kuwakutanisha marafiki wanaofurahia jambo fulani au
wateja wanaojadili biashara mbalimbali’ alisisitiza bwana Kadri. Club
327 itakuwa ikifunguliwa siku 5 kwa wiki kutoka Jumanne hadi Jumaipili
kuanzia saa mbili usiku na kuendelea.
Kwenye
club hii itakuwa ni vyumba vya wageni maalumu vya Moet na Chandon,
Hennessy na Belvedere. Vyumba hivyo ambavyo vimeunganishwa na huduma ya
DSTV, majokofu yenye vinywaji wakati wote, bafu ya ndani kwa ndani,
pamoja na muziki.
0 COMMENTS:
Post a Comment