December 11, 2012

TASWIRA YA SHEREHE YA MIAKA 7 YA THT DAR LIVE

Hi | 2:32:00 AM | | | | | | | |
 Ben Pol
 Linah wa THT
 
Barnaba akicheza na Mrembo kwa Stage
 
 THT wakishangilia jukwaani wakati wakisherehekea kutimiza miaka 7 kwa kundi lao.
 Sheta
 Mwasiti na wasanii wenzake kutoka THT
 Kijana mzee wa Magubegube Barnaba boy akionyesha umahiri wa Kuchalaza gitaa
 Twanga Pepeta wakikamua vilivyo kwa stage
 Baba wa Mipasho Mfalme Mzee Yusuph
 Msanii kutoka nyumba ya vipaji THT
  Msanii kutoka nyumba ya vipaji THT
 Queen Darleen
 Bi Cheka na Dogo Asley wakiwapagawisha Mashabiki
Shilole
WASANII wa nyumba ya vipaji, Tanzania House of Tallent ‘THT’ usiku wa kuamkia leo waliangusha bonge la pati ndani ya Ukumbi wa Dar live uliopo Mabagala jijini Dar kusherehekea miaka 7 ya kuanzishwa kundi hilo la kukuza vipaji. Katika pati hiyo wasanii mbalimbali wa muziki walitoa burudani hasa wasanii wenyewe wa THT. Pichani juu ni baadhi ya matukio yaliyojili ukumbini hapo.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster