
Huyu
jamaa anaitwa JOSEPH VAN VICKER! Ni mwigizaji maarufu wa Movie za
Kinigeria anayejulikana sana Barani Africa! Baba yake ni Mholanzi na
mama yake ni Mghana.
Baba yake alifariki Dunia wakati Van Vicker akiwa
na umri wa miaka 6 na kuanzia hapo alilelewa na mama yake mpaka
alipokuwa na uwezo wa Kujitegemea! Jamaa ameshanyakuwa Tuzo kibao za
Filamu na pia inasemekana baada ya yeye kutoka kwao Ghana na kuhamishia
kazi zake za Filamu nchini Nigeria na kukumbana na Ubaguzi mkali kwa
wadau wa Filamu na hasa waigizaji wa Nollywood waliodhani aatawafunika
na kweli 'AKAWAFUNIKA' kweli na hata waigiza maarufu wa kimume nchini
humo kama vile RAMSEY NOAH, JIMMY IYKE na wengineo jasho linawatoka
sasa...
Hobbies za huyu jamaa ni kucheza Football, Table tennis na kuogelea
Hobbies za huyu jamaa ni kucheza Football, Table tennis na kuogelea
Mwigizaji
huyu anayependwa sana na wakina Dada ameshaoa jamani na amejaaliwa
kupata watoto 3! Kwaiyo kama kuna siku ulikuwa na ndoto 'MBAYA' na yeye
basi imekula kwako
0 COMMENTS:
Post a Comment