November 17, 2012

NATAFUTA MWENZA/MPENZI/RAFIKI WA KALAMU NA KUCHATI SEHEMU YA 3

Hi | 5:52:00 PM | | |

Naitwa Lee niko arusha natafuta boyfriend check me kwa 785005352

Natafuta rafiki mtu mzima miaka 40 na kuendelea kwa ajili ya kuchat na kubadilishana mawazo tu. 0784 838036

Bint aliyopo mwanza check me kw 0715387322 for real lov

NATAFUTA MSICHANA WA KUOA MKRISTO KWELI KWELI MWENYE MAPENZI YA KWELI.ALIYE TAYARI TUWASILIANE KUPITIA EMAIL ADDRESS: psamsony@gmail.com

Natafuta mchumba, awe mwembamba kiasi, umbo la wastani na mweupe kiasi...text me on 0714239061. E-mail kentejulius00@gmail.com

Natafuta girl 18 to 45 no yangu SMS 0718265427 I'LL CALL U

nimechoka kua single jamani najihisi mpweke sana. natafuta mpenzi awe naumri kati ya miaka 18 na22 mi nina miaka 24 na nipo chuo dar. mrembo alietayari anicheck kupitia email: natakakuonja@gmail.com

NATAFUTA MPENZI MWENYE MAPENZI YA KWELI JINSIA YA KIKE UMRI KUANZIA MIAKA 25 MPAKA 45 SMS ZOTE NTAJIBU NA NAPATIKANA KWA NAMBA 0716 251515

MI NATAFUTA MDADA MZUUUURI TUPEANE PENZI TAAAAAMU! 0654389929



  " NATAFUTA MWENZA WA KUDUMU, AWE TAYARI KUPIMA UKIMWI"
Habari yako kaka Ramso,

Nomba na mimi uniwekee tangazo langu, kuwa ninatafuta mwenza. Nimeamua kutumia njia hii kwa kuwa nimeona wenzangu wanaitumia na wanafanikiwa. Mimi ni mwanamke, ninaishi Cyprus kwa sasa, natafuta mwenza (kwa ajili ya kuoana). Mtu atakayeniandikia naomba sana awe serious na pia awe ni mwepesi wa mawasiliano. 


Kama yupo busy sana na hawezi mawasiliano naomba asisumbuke kuniandikia. Pia awe na umri kuanzia miaka 34 - 42, ambaye hajawahi kuoa wala hana watoto (najua wananchi wenye hasira kali watanishambulia kwa hili, lakini watu wa hivi wapo). Mwenye elimu ya chuo, mkristo, pia awe tayari kupima ukimwi (si unajua tena dunia imebadilika). Mwenye nia ya kufunga ndoa, anayejua thamani ya mwanamke, na mwenye mapenzi ya kweli na ya dhati.
Aliye tayari naomba aniandikie kwa email:
jackysteven93@yahoo.co.uk


KAMA UNATAFUTA MWENZA/MPENZI/RAFIKI WA KALAMU NA KUCHATI USISITE WASILIANA NASI KWA EMAIL: sonramso@yahoo.com/ramsok2@gmail.com AU TUMA SMS TU KWA NAMBA +255 767 000036 NA TUTAWEKA KWENYE MTANDAO WETU.

1 COMMENTS:

Anonymous said...

ahsante

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster