November 17, 2012

JANET JACKSON AMEBADILI DINI TAYARI KWA KUFUNGA NDOA

Hi | 4:40:00 PM | |
Inasemekana kuwa Janet Jackson (46) Wissam Al Mana(36) amabae ni tajiri kutoka Qatar,wamekuwa na mahusiano ya kimapenzi tangia mwaka 2010 na sasa wamefikia maamuzi yakuwa Mume na Mke na hatua hiyo imempelekea Janet Jackson kubadilisha dini na sasa Janet ni Muislamu....Ndoa hiyo inatarajiwa kufanyika Doha nchini Qatar mwaka 2013 na kwa sasa tayari sherehe imeanza kupangwa.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster