October 14, 2012

WASHIDI WA SHINDANO LA MISS NA MR DAR ES SALAAM SCHOOL OF JOURNALISM

Hi | 7:05:00 PM | | |
 Washidi wa shindano la Miss na Mr Dar es Salaam School of Journalism waliokaa kushoto Hassan Omary na Miss Diana Nyakasinda wakiwa na zawadi zao mara baada ya kutangazwa kuwa washindi kwenye shindano lililomalizika hivi punde kwenye eneo la Kijiji Beach Kigamboni.
Washiriki wa Shindano la Miss na Mr Dsj wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wakisubiri kutangazwa kwa washindi.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster