October 11, 2012

TENDWA, KAMUHANDA WAWEKWA KITANZINI

Hi | 7:51:00 PM | |
Ripoti ya Jaji Ihema yawa aibu na dhihaka
Siku  moja baada ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi, kuchunguza mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari mwakilishi wa kituo cha televisheni ya Channel Ten, mkoani Iringa, marehemu Daudi Mwangosi, kutoa ripoti yenye ‘makengeza’ kuhusu Jeshi la Polisi, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imejiridhisha kuwa jeshi hilo lilivunja haki za binadamu, ikiwamo Kamanda wake wa Mkoa huo, Michael Kamuhanda, kukiuka misingi ya utawala bora, katika kuendesha operesheni iliyosababisha mauaji ya mwanahabari huyo, kinyume cha Katiba na sheria za nchi.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster