Nyumba
ya Dorcas Moses mwalimu wa shule ya Msingi ya Nyamagana ambaye alikuwa
kwenye gari aina ya Rav 4 aliyopewa lifti na kamanda Ballow usiku
kumrudisha kwake. Hapa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Fredrick
Katulanda akitoka kufanya mahojiano.
Mtoto
wa kaka yake Mwalimu Dorcas akiongea kuhusiana na tukio la Kifo cha
kamanda Ballow ambapo yeye ndie alikwenda kufungua geti kwa ajili ya
Mama yake Dorcas aweze kuingia ndani ila kabla ya kufungua ndipo
aliposikia risasi ikipigwa.
Hili
ndilo geti ambapo kifo cha kamanda Ballow kilipotokea usiku wa kuamkia
leo wakati mwalimu Dorcas Moses alipokuwa akirudi nyumbani kwa lifti ya
gari la Kamanda Ballow.
Waombolezaji wa kike wakilia kwa uchungu nyumbani kwa kamanda Ballow
0 COMMENTS:
Post a Comment