October 9, 2012

AJALI MBAYA DEREVA WA BODABODA NA ABIRIA WAKE WAFARIKI

Hi | 5:40:00 PM | |
Dereva wa Bodaboda na abiria wake, ambao hawakuweza kufahamika majina yao kwa haraka, wakiwa wamelazwa pembeni mwa barabara ya Bagamoyo eneo la Makongo, baada ya kugongwa na gari aina ya Starlet yenye namba za usajiri T 838 BKB, wakati wakiwa katika Pikipiki yao yenye namba za usajiri T 491 BFY, na kufariki dunia papo hapo. Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi.

0 COMMENTS:

Home of Technologies © Copyright 2010-2015 : Designed by : WebMaster